×
TAFUTA
Mahali Salama pa Kuchunguza Maswali
 jinsi unavyoweza kumjua Mungu

Kuanza na Mungu

Ongera kwa uamuzi wako wa kumuomba Yesu Kristo aje kwenye maisha yako.

Nini sasa

Ikiwa hii ingekuwa dini, ungetarajia mtu akupe kila aina ya Kanuni. Tambiko. Mahitaji. Na labda vitu vingi vya kununua!

Lakini ukimuomba Yesu aje kwenye maisha yako, haujachagua kuingia kwenye dini.

Badala yake unaweza kuanza uhusiano na Mungu.

Na hiyo inashangaza sana.

Unaweza kuwa unajiuliza itakuwaje, kuwa katika uhusiano na Mungu. Nini cha kutarajia?

Na muhimu zaidi, mtu huanzaje hata kumjua Mungu vizuri zaidi?

Tumetengeza tovuti nyingine, KutembeaNaYesu.com, hasa kukusaidia kukua katika uhusiano wako mpya na Mungu.

Tafadhali nenda hapo sasa: KutembeaNaYesu.com